Read More ...

0 comments


Nakushukuru Mungu muumba mbingu na dunia,kwa mambo mengi unayoendelea kunitendea mimi na ndugu yangu mdau.eeh Mungu narudisha sifa na utukufu.
Ndugu mdau leo nitataka nieleze kwa kifupi kuhusu hili la kukopesha wewe ukiwa kama mjasiri amali.
Ndugu mdau kukopesha kunaweza kuwa na faida au hasara,kwani kwa utafiti wangu nilioufanya kwa wajasiri amali kukopesha kunaleta madhara makubwa sana,kwani unakuwa unapoteza wateja,unapomkopesha mtu ni sawa na umemwambia asije tena kwenye biashara yako,unamwambia apunguze trip za kuja kwenye biashara yako,kwani huwa anabadilisha hata njia.kwahyo ndugu wajasiri amali uwe mwangalifu kuhusu ili suala la kukopesha,angalia usikopeshe kwa hasara,kwani kukopesha angalia mtu unayemkopesha kwani kukopesha inaweza kuwa fimbo ya kukuchapa wewe mwenyewe kwa sababu unampa mtu ambaye atakurudishia.
Read More ...

0 comments




Ndugu mwanablog hii Good business aidea inatokana na wewe mwenyewe, usitarajie mtu mwingine akupe business aidea iliyo bora, na lazima uumize kichwa sana kutafuta business aidea iliyo bora na ambayo ni sustainable

Unacho takiwa kufanya ni

1. Kukaa chini na kuangalia mazingira uliyopo na jamii iliyo nayo ni kitu kipi inahitaji?
- Ni kitu kipi wafanya biashara wengine hawafanyi? au wanafanya chini ya kiwango?
- Katika kuwaza kwako tageti miaka 5 hadi 10 ijayo, tusipende biashara ya zima moto

2. Soma sana makala ya uchumia na biashara kwenye magazeti na kwenye blog mbalimbali zilizoko humu TZ na nje ya nchi
- Mara nyingi makala nyingi za baishara na uchumi huwa na vitu ambavyo ukivikombaini pamoja unapata wazo zuri sana la biashara
- Na kuna vitabu vile vile
3. Angalia vipindi vya uchumi kwenye television mbalimbali za dunia, mle kuna opportunuty nyingi sana

4. Jaribu kutembea au kusafiri hata mikoani nina uhakika ukisafiri hata kutoka Dar hadi Arusha huwezi kosa wazo la biashara au kutoka Dar hadi mwanza kupitia Dodoma na singida na shinyanga,
- Mikoa yetu na maeneo mbalimbali yana furusa nyingi sana za biashara

5. Kwnye website mbalimbali za Business planing competition uki google utapata blog nying sana za mashindano ya kuandika michanganuo ya biashara na mle ndo kuna mawazo yaliyo enda shule

6. Anagalia treind ya uchumi wetu na watu wetu unaelekea wapi,

6. MWISHO JARIBU KUKUSANYA HATA AIDEA 10 HIVI THEN ZI CHUJE KULINAGANA NA MTAJI NA MAHITAJI HADI UPATE MOJA ILIYO BOR NA AMBAYO UTAIFANYIA KAZI

NA KWA WAKATI HUU WA SASA JARIBU KUTAFUTA AIDEA AMBAYO INAFOCUS MIAKA HATA 50 IJAYO KWAMBA HII BIASHARA NI NAYO ANZA NI SUSTAINABLE KIASI KWAMBA INAWEZA KUWEPO HATA MAIKA MINGI IJAYO, TUSIPENDE MAWAZO YA BAISHARA RAHISI RAHISI KAMA VILE KUUZA MITUMBA KUNUNUA BODA BODA NA KADHALIKA
Read More ...

0 comments





kabla ya kuanza naomba tuvumiliane na kiswahili kidogo kilichotumika huku na mwandishi si kizuri kuna baadhi ya lafudhi zimekosewa

Unawezaji kupunguza woga wa kushindwa katika biashara?
Wasi wasi wakushindwa umetuzuia hatakuanza, na tumekuwa tukishindwa hata kabla ya kuanza, yaani kabla mtuhajafikilia kuanzisha biashara tiyali ameisha shindwa, hivyo wakuu nimejaribukuangalia baadhi ya njia za kupunguza wasiwasi wa kushindwa kuanza biashara

1. Hakikisha kwamba familia yako haitapata shida wakati utakapokuwa unaanza biashara

-Watuwengi sana wamekuwa wakishindwa kuanza biashara kwa kuhofia familia zao, mtuakifikilia familia yake anaona bora tu aendelee na mshahara wa mwisho wa mwezikuliko kunza biashara halafu familia iteseke
Hiini ulweli kwa sababu kushindwa kwako kutaathiri hadi familia yako, marafikizako, ndugu zako na kazalika, ukiwa na huzuni ya kushindwa biashara hata watotona mke hawatakuwa na furaha kamwe,
Hivyowaandae watoto wako, mke/mme wako kisaikolojia kwanza, na hakikisha kwamba hataukishindwa familia yako haitafeel pain sana, hii itakusaidia

2. Don’t over spend

Watuwengi wamekuwa wkiwa na wasiwasi wa kushindwa kwa sababu ya kutambua kwambawatatumia ghalama kubwa katika biashara,
KAMA NI BIASHARA YAKO YA KWANZA KABISA NA NDO UNAANZA BIASHARA USI OVER SPEND,tumekuwa tunaathiriwa na biashara za wengine, mtu anatembelea ofisi ya kampuniFulani kule BENJAMINI MKAPA TOWE, nay eye anawaza kuwa na vitu kama alivyo onakule, No anza na ulicho nacho, na kwabaisahra ya kwanza usitumie pesa nyingi sana, Kama ni hoteli anza na MABENCHKWANZA make kinacho mata ni huduma na si fanicha, unaweza weka fanicha karisana lakini kama huduma ikiwa mbovu huta muona mtu

3. Fanya market research kwanza

Hiiinaweza kukupunguzia uoga wa kushindwa, make utakuwa na uhakika wa soko baadaya kuwa umefanya research, Watu wengi ni wabishi sana tunaanza biashara kwakuamni kwamba wateja watakuja tu, hii ni makosa makubwa sana,
TUMEKUWATUKIFANYA RESEARCH YETU KWENYE BEI, KAMA KITU KINA LIPA MTU HUANZA BIASHARABILA YA KUJUA ATAMUUZIA NANI,

market research haiko kwenye bei pekee iko sehemunyingi kama vile

- Demand
- Competitors
- Market share
- Population
- Price
- Na kazalika
Tumekuwahatu fanyi hayo yote matokeo yake mtu anakurupuka anaanza kufuga KUKU kisa tumtaani kwao watu wanafuga na inalipa sana, hayo ni makosa makubwa sana wakuu
4. Kila biashara ina Risk yake

Hivyofanyia tambua riski zote zilizoko katika Biashara yako na zifanyie kazi,
Mfano:Ufugaji wa kuku, Watu wamekuwa wakiogopa sana biashara ya kufuga kuku kisa tuugonjwa, sasa kama unafahamu riski kubwa ni ugonjwa ni kwa nini usifanyie kazihili tatizo? Je hakuna madawa? Je tatizo nini?

5. Vitendo, TAKE ACTION OTHERWISE YO FAILED

Kufanyakwa vitendo nako hupunguza wasiwasi wa kushindwa, watu wengi wamekuwa wakiishiakusema nina Business planning nzuri sana, BUSINESS PLANING SI BIASHARA,BUSINESS PKANING NI MAKARATAI, NA KUYAWEKA KATIKA VITENDO NI ISHU NYINGINEKABISA

6. Kumbuka Wajasirimali wakubwa DUNIANI walishindwa mara nyingisana kabla ya kufanikiwa

Ukiwana wasiwasi wakushindwa katika biashara yako, fikilia kwanza kuhusuwajasirimali wakubwa walishindwa kabla ya kufanikiwa, SOMA HISTORIA YA HONDA,wacheki wakina Michaele Dell, mcheki na Henry Ford hawa walishindwa mara kibaokabla ya kuja kufanikiwa

Steve Jobs is a great example. He revolutionized thecomputer and multimedia industry with his marvelous inventions and successstories, but he is also an entrepreneur who had a lot of epic fails. Do youremember Apple I and Apple II computers? They were sold in mere hundreds andwere complete failures. What about Lisa, introduced in the early 1980s? Whatabout NeXT Computer? Do you relate these failures to Steve Jobs? – Not sure…Well yes, he failed on these ones but all of them were followed by greatsuccesses. Check Nick Shulz’ great blogpost, “

WhataboutGoogle? Even great companies such as Google havestartup failures. Google Wave, Google Nexus One, Jaiku, or Google Answers are someexamples of startup projects which required huge investments and in the endthey still failed. Follow this andthis link to readmore about Google startup failures. Thus, we can see that failing is part ofthe learning process and part of your way to success.

To sumup, failing is not such a bad thing. In fact it is a great thing because itteaches you to things you cannot learn without “hitting the ground”.

Fred Wilsonsays:“Whenwe meet with entrepreneurs, I’m always interested in their failures. And mostpeople have them, you just have to dig a bit to find them. If someone hasfailed and taken the time to learn from it, I think that’s a big positive. Itmakes us even more excited to back them the next time. Don’t hide yourfailures. Wear them as a badge of honor. And most of all, learn from them

7. Usiweke mayai yote kwenye kapu moja

Madhara ya kuweka mayai yote kwenye kapu moja ni kwambamara tu kikapu kitakapo dondoka, itakuwa imekula kwako, hivyo basi njianyingine ya kupunuza wasiwasi wa kushindwa ni kujaribu kuwa na SBU nagala mbilihadi tatu,
Unapo anza biashara mathalani ya Hoteli, kuwa basi nabiashara nyingine ya Ufugaji wa kuku au kilimo cha Mboga, hii itakupunguziawasiwasi kwa sababu utakuwa unajua kwamba ukishindwa sehemu moja bado unasehemuya pili ya kufanya vizuri

8. Choma Meli moto/Burn the boat

Huu ni mkakati ulio kuwa ukitumiwa na wagiriki enzi zavita miaka hiyo, Wanajeshi wa Kigiriki walivyo kuwa wakifanikiwa kufika eneo laVita au kwenye uwanja wa vita kitu cha kwanza walicho kuwa wakifanya ni kuchomaVitu vilivyo wafikisha eneo la VITA, walichoma mashua na meli zao zote, hii iliwafanya wasiwe na altenativeyeyote ile zaidi ya kupigana na kushinda vita make wakishindwa bado wata uwauwatu kwa sababu tiyali wameisha choma moto MELI ZAO NA MASHUA ZAO

Na hii iliwafanya wanajeshi wa Kigiriki kuwa na Molari yahali ya juu na ujasiri mkubwa sana na mara zote walikuwa wakishinda

SO? Kama kushindwa na kushinda katika biashara ndooptional pekee zilizopo huna budu kuzifuata zote na kupigana gadi mwisho.

Kama una aidea lakini unaogopa kuanza CHOMA MOTO MELIYAKO na enedelea mbele kwa kuamini kwamba kushindwa hakutakusaidia chochotekile, WAGIRIKI walikuwa wakiamni hata kama wakishindwa ni kazi bure, so na wewefika mahali uamini kwamba hata kama ukishindwa ni kazi bure hivyo ni kupiganatu
WAKUU, fear ya kushindwa huondoka mara tu unapo gunduakwamba haitakusaidia chochote kile


9. Tambua ghalama za furusa unazo ziacha
Kabla hujafikilia kuacha biashara au kuanzisha biasharaFulani fikila ghalama au COST OF MISSED OPPORTUNITIES ambazo utakuwa umeziachapindi ukitemana na biashara
source:http://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/274716-kupunguza-woga-fear-ya-kushindwa-katika-kuanzisha-biashara.htm
Read More ...

0 comments













CLICK HERE TO SEE ALL AVAILABLE JOBS !!

BONYEZA HAPA UONE KAZI ZOTE ZILIZOPO !!





BAADHI YA KAZI ZILIZOPO NI HIZI ZIFUATAZO:




CORPORATE FINANCE AND ACCOUNTS MANAGER



The Tanzania Posts Corporation (TPC)
The Tanzania Posts Corporation (TPC) is a national designated public postal operator established by Act of Parliament No. 19′ of 1993 and became operational on 1st January, 1994. The Corporation is wholly owned by the Government ofthe United Republic of Tanzania. The principal function of the Corporation is to provide universal postal and allied services within and between places outside the United Republic of Tanzania.
The Corporation is looking for a suitably qualified Tanzania citizen of high personal integrity to fill the position of Manager Corporate Finance & Accounts.
Reporting Relationship:
The successful candidate will be stationed at the Corporation’s Headquarters in Dar-es-Salaam and will report directly to the General Manager/Corporate Resources Management.
The Manager Corporate Finance & Accounts will manage and supervise the following Section: Management Accounting, Financial Accounting and Centralized Cash Management System
Objectives:
To coordinate the maintenance of corporate books of accounts and preparations of corporate periodic and annual financial reports as well as costing and budgeting system.
To maintain in liaison with other departments smooth finance/cash management and ensure that the Finance & Accounts Department exploit and optimize the new technologies in search for lower costs and greater efficiency.
To ensure that the Corporation meet performance standards in terms of profitability as provided for in the performance contract between the Government and the Corporation and/or as may be set from time to time in the annual budgets.


CLICK HERE TO GET MORE DETAILS AND APPLY!!





SENIOR INTERNAL AUDITOR


Tanzania Postal Bank (TPB) seeks to appoint dedicated, self motivated and highly organized Senior Internal Auditors(2) to join the Audit team.The persons will be responsible with risks analysis of the Bank and performing internal audit of Bank branches and directorates. He/she will also be required to write audit report for management implementations of the findings.
Reporting Line: Audit Chief Manager
Location: Head Office, Dar es Salaam
Work Schedule: As per TPB Staff regulations
Salary: TPB
Main Purpose of the Job
-To extract and analyze data so as to determine various risks of the Bank.
-To carry out audit for branches and directorates within the Bank.
-To ascertain the adequacy of the internal controls system and the reliability of financial reports and management of data and information
-To review systems procedures, policies, controls and guidelines and recommend improvements.


CLICK HERE FOR APPLICATION AND MORE DETAILS!!






CLICK HERE TO SEE ALL AVAILABLE JOBS !!


BONYEZA HAPA UONE KAZI ZOTE ZILIZOPO !!
Read More ...

0 comments

Watu wengi wamekuwa wakijiuliza biashara za kuanza kufanya, wakati mwingine kumekuwa na baadhi ya watu ambao huwa na kianzio cha biashara (mtaji), lakini hawafahamu ni biashara gani wataweza kufanya. Fursa ya Biashara (Business Oppurtunity) hutokana na mahitaji ya watu katika eneo husika; kwahiyo katika kutengeneza wazo la biashara (Business idea) huanza kwanza kwa kuchunuguza fursa zilizopo katika eneo husika. Baada ya hapo hufuata mpango wa biashara (Business Plan). Kwa hiyo unapofikiria ni biashara gani ya kufanya ni vyema kuchunguza mahitaji yaliyopo katika eneo husika (inaweza kuwa mtaani kwako, katika mji au hitaji la Taifa). Kwa kweli nchi yetu bado kuna mahitaji mengi ambayo yanaweza kutumika kama fursa ya biashara; hebu jiulize toka unapoamka ni mahitaji au shida kiasi gani umekutana nazo, naomba kuorodhesha baadhi ya maeneo ambayo tunaweza kuchunguza mahitaji: 1. Unapotaka kwenda kuoga asubuhi nyumbani kwako, unapata maji kwa urahisi? 2. Je unapotaka kupata kifungua kinywa, unapata kitafunio kwa urahisi? 3. Je unapotaka kwenda kazini au kwenye shughuli zozote, usafiri kutoka eneo lako uko vipi? 4. Unapofika katika eneo lako la kazi au shughuli yeyote kuna vitendea kazi vya kutosha? 5. Vitu gani vinakufanya kushindwa kutekeleza majukumu yako ya kazi au shughuli za kila siku? 6. Unapotaka kupata chakula cha mchana, je unapata katika mazingira gani? 7. ............................. 8. ............................. Wengine wanaweza kuendeleza, mambo ambayo tunaweza kuchunguza kutokana na mazingira husika. Jambo lolote ambalo utaliona ni hitaji kwa watu basi hiyo ndio fursa ya biashara, kwa hiyo unapaswa kutengeza wazo la biashara. Tuache kuyachukulia mazingira yanayotuzunguka na mambo yanayoendelea katika jamii kuwa ni kawaida, kwa mfano unaweza kuwa unakwenda kupanda daladala kila siku kwa kugombania na ukachukulia hiyo ndio hali ya kawaida, lakini tunaweza kutumia hiyo hali kama fursa ya biashara na kutengeneza wazo la biashara. Tunapoaangalia mahitaji ya watu na kugeuza kama fursa ya biashara, basi hapo tutakuwa tunafanya biashara lakini vile vile tutakuwa tumekutana na mahitaji ya jamii inayotuzunguka na taifa kwa ujumla, kwa kweli jamii yetu bado ina mahitaji mengi; itashangaza kusikia kwamba hatujui nini cha kufanya na jamii inayotuzunguka. Hebu tuige mfano wa Mjasiriamali Bakhresa na kampuni yake ya AZAM, kwamba amekuwa akichunguza mahitaji ya jamii na kuleta bidhaa ambayo itakutana na hitaji hilo, mfano; CHAPATI, MIKATE, TUI LA NAZI na nyinginezo. Vile vile tujifunze kutofautisha fursa za biashara katika nchi zilizoendelea na nchi zinazoendelea kama ya kwetu; kwani upatikanaji wa fursa za biashara ndani ya Marekani ni tofauti na Tanzania; ndio maana katika nchi zilizoendelea wamekuwa na biashara za mitandao na biashara nyinginezo ambazo zisikiri kama zinaweza kuwa na ufanisi mkubwa zaidi kutokana na mazingira yetu; kwani nimeshawahi kuona baadhi ya link zikielekeza jinsi ya kutengeza fedha ka jinsi ya mtandao n.k. Nafikiri bado jamii yetu ina mahitaji mengi ambayo yanahitaji mtu wa kuyatatua. Nawatakia kila la kheri wajasiriamali wenzangu, katika kukutana na mahitaji ya jamii inayotuzunguka na kupunguza hili wimbi kubwa la kutegemea bidhaa kutoka nje; yaani tumeshindwa hata vijiti vya kusafisha meno, miti ya kuchoma mishikaki n.k, vimekuwa vikitoka China; hawa watu wamekuwa wakitoka mbali na wakifika hapa wanabaini fursa za biashara na kurudi kwao kutendea kazi. source:Mgombezi member of jf
Read More ...

0 comments


ORGANIZE
By determining where you want to go and expressing your goals in terms that can be measured, you have already made a lot of progress. You might thing you’re now ready to head out and begin the intellectual trip to student success. Consider the tools for studying

WORK
You’re ready. Preliminaries are out of the way. You’ve prepared and you’ve organized. Now its time to get started actually doing the work. In this consider the following:

•Effort is the causes of success

•Be response to your failures; when you do poorly don’t blame the teacher, text books, or job that keep away from studying.

•Think positively, assume that the strength that you have will allow you to succeed and that and if you have problems you can figure out what to do.

•Accept that you can’t control every thing; think things that can be changed and those can’t.



EVALUATE
In this you should do an evaluation of your work, and after that you should do the following:

•Take a moment to congratulate yourself and feel some satisfaction. If you have done the work according to reach your goals or at least to the point of reaching goal just congratulate yourself.

•Compare what you’ve accomplished with the goals you’re seeking to achieve. Think back to the goals, both short-term and long-term that you are seeking to achieve.

•Evaluate what you’ve done if you were your current instructor. Now exchange body and mind again. This time, consider what you’re doing from the perspective of the instructor w ho gave you the assignment. How would he/she react to what you have done?

•Be fair to yourself; the guidelines for evaluation will help you to determine just how further work is necessary and, even more important, what work is important?

•Based on your evaluation, revise your work; if you’re honest with yourself it’s unlikely that your first work will satisfy you. So go back to work and revise to what you have done.

RETHINK
Rethink what you have accomplished earlier means to bring a fresh eye to what you have done. It involves critical thinking that involves reanalyzing, questioning and challenging our underlying assumptions.
source: http://penzilakweli.blogspot.com/2010/11/ways-that-make-success-in-life.html
Categories:
Read More ...

0 comments




IDEA ya Biashara ni moja ya mambo yanayo waumiza watu wengi sana, Na mara nyingi wazo la biashara linahitaji utafiti wa kina ili kuja na wazo lenye tija kwako na kwa jamii nzima,

HIZI NI MOJA YA NJIA ZA KUPATA WAZO LA BIASHARA

1. TUMIA UJUZI ULIONAO
Ujuzi ulionao ndo sehemu ya kwanza kabisa ya kupata wazo la Biashara, Mfano kama wewe umejiliwa na ni Fundi wa kushona Nguo, why usianze na wewe kuwa na biashara ya aina hiyo? Kama wewe ni fundi magari why usianzishe gereji yako?
Ujuzi ulianao ndo hazina ya kwanza nay a kipekee ya kupata wazo na mara nyingi wajasirimali wengi waliofanikiwa waliacha kazi wanazo fanya na kwenda kuanzisha za aina hiyo na kuzimiliki wenyewe


2. BADILISHA HOBY YAKO KUWA PESA

Hobby ni moja ya maeneo ambayo watu huja kutajilikia, kama wewe hobby yako ni kufuga mbwa kwa nini usianze hiyo biashara ya kufuga mbwa?
Kama Hobby yako ni Kuogelea, kwa nini usinzishe mabwawa ya kuogelea na wengine wakawa wankuja huko kuogelea?
Kam unapenda gardening unaweza anza biashara ya kufanya landscape gardening


3. NUNUA BIASHARA AMBAYO TIYALI IPO
Ukishindwa kabisa kupa wazo mwanana unaweza nunua biashara ya mtu mwingine na kuindeleza, siku hizu kuna biashara kibao zinauzwa kwa sababu mbalimbali so unaweza nunua nu kuendelea nayo


4. Kununua Franchise
Hii ni moja ya njiza zinazo tumika kwa sasa na sehemu nyingi sana, Unaweza nunua Popular Brand na kuifanyia kazi, Ingawa mara nyingi kuna mashariti ya kuambatana ikiwemo kuhakikisha unatoa huduma sawa na Brandi yenyewe, nah ii ni popular sana katika MAHOTELI/MIGAHAWA, MASUPERMARKET NA MADUKA MENGINE
Na usijalibu kutumia Brand ya Kampuni Fulani bila kuwapa Taarifa make inaweza kula kwako na ukajikuta unafilisiwa,
Na ilisha wahi kutokea kwa Kampuni ya Mabasi ya SABENA baada ya kutimia jina la Shirika la Ndege la Ubeligiji, Ila sijui walimalizana vipi, make jamaa bado wanalitumia


5. TUMIA PERSONALITY YAKO
Kuna watu unakuta either ni Mrembo sana, Handsome na kazalika, unaweza utumia huo urembo na uhendsaamu kufanya biashara, either za marketing na kazalika

.
6. NINI KINAKOSEKANA MTAANI?
Tazama ni kitu gani hakipo hapo mtaani and then geuza kuwa opportunity, inaweza isiwe ni mtaani ikawa ni kazini kwako, Kijijini kwenum au maeneo unayo enda kustalehe
-Ni kitu gani huwa kinaleta usumbufu kwako na kukuchukulia muda mwingi na pesa nyingi?
- Ni huduma zipi hazipo kabisa mtaani kwako? Na ambazo ni za muhimu?
-Ni bidhaa zipi ambazo ni vigumu kuzipata mtaani kwenu?
-Ni kitu gani, wewe, Ndugu, Majirini huwa wanakilalamikia sana mtaani hapo?


7. UTALII KATIKA MAENEO YAKO
Hii nayo ni moja ya wazo, so unaweza angalia furusa za utalii kwenye maeneo uliyopo au hata kwingine na kuyafanyia kazi.


8. TUMIA TECHINOLOGIA MPYA KUANZISHA BIASHARA
Angalia mfumo wa maisha wa sasa ulivyo, vitu vinavyo tumika kwa sasa na vinavyo tumiwa na watu wengi, so mfumo wa maisha wa watu kwa sasa unaweza kukuongoza kuja na wazo la Biashara


9. ANGALIA MAKAMPUNI MAKUBWA NA TAASISI ZINGINE WANAHITAJI NINI
Unaweza tumia uwepo wa makampuni Fulani au taasisi Fulani maeneo yako kutengeneza wazo la biashara, taasisi kama Shule, vyuo, Hospitali, Makampuni kama Viwanda Migodi na kazalika, angalia ni kipi hawa watu wanaweza kuwa wanahitaji kwa wingi


10. UNAWEZA KUANGALIA KUHUSU KUUZA BIDHAA ZA WENGINE
Unaweza ukawa unauza bidhaa za watu wengine, unachukua na kuuza


11. ANAGALIA NEWS NA MAKALA MBALIMBALI
Kunachaneli huwa zina makala mazuri sana ya kiuchumi na biashara, hata TBC huwa inamakala Fulani nzuri sana, na kuna chaneli za kimataifa siku huzi kazi yao ni hiyo tu, ni kuonyesja ubunifu wa wajasirimali, so TV, radio na magazeti yanaweza toa mchango w akutosha kwa wewe kupata wazo la biashara


12. CPY BUSINESS AIDEA AMBAYO IMEFANIKIWA KWINGINEKO
Hii ni moja ya njia zinazo tumika kwa sasa, unaweza copya aidea kutoka hata India, China, na kwingineko na ukaja kuifanyia kazi huku kwa kufanya marekebisho madogo kulingana na mahitaji ya eneo husika


13. TUMIA NJIZA ZOTE ZA KIUTAFITI KUPATA WAZO LA biashara- maonyesho ya biashara
-Magazeti,
- Kwenye taasisi za uma zinazo husika na biashara
-Kwa marafiki


14. UNAWEZA GUNDUA KITU?Unaweza ukaja na ugunduzi wako kama walivyo fanya wakina Thomas Edson Michael Dell na wengineo, na ikawa ndo mwanzo wa mafanikoa kwako


SO HIZO NI MOJA YA NJIA ZA KUTUMIA, INGAWA BADO KUNA NJIA NYINGI TU ZA KUFANYA ILI KUOATA WAZO LA BIASHARA LILILO BORA
Read More ...

0 comments

Kadet for Boys
Read More ...

0 comments




 

Written by stephen

LEO nitazungumzia suala la dhamana. Dhamana ina wigo mpana sana ikihusisha aina zifuatazo: hisa, vipande, hatifungani na amana za serikali.

Katika mada ya leo nitapenda kuaangazia aina mojawapo ya dhamana ambayo ni hisa na wakati ujao nitazungumzia dhamana nyingine.

Mbali na kuzungumzia suala la hisa leo, wajasiriamali wanashauriwa kusoma baadhi ya vitabu ambavyo waandishi wameandika mada mbalimbali za ujasiriamali ikiwamo uwekezaji katika hisa.

Tafiti mbalimbali zinaonyesha kwamba zaidi ya asilimia 84 ya Watanzania wakiwamo wasomi na wengine ambao hawajabahatika kusoma hawajui au hawana elimu kuhusu kuwekeza katika hisa.

Hali hiyo inatokana na ukweli kwamba mada hii haijawekwa katika mitaala mbalimbali ya elimu. Kama ipo basi wale wanaostahili kuifundisha ama hawana uelewa mpana na uzoefu wa kuwawezesha wanafunzi wao kufahamu umuhimu wake katika medani za kiuchumi.

Hisa inaelezeka kwa namna mbalimbali, kwa ujumla wake hisa ni mali, rasilimali, kitegauchumi, hati miliki, biashara, dhamana ya mkopo, ni akiba, ni fedha iliyohifadhiwa, na ni mtaji.

Katika mtazamo wa kibiashara, hisa ni uwekezaji wa mtaji au fedha ambayo imewekezwa na mfanyakazi, mkulima, mfanyabiashara au mtu mwingine ambaye ameamua kununua hisa kutoka katika kampuni fulani kwa lengo la kupata faida kupitia gawio na ongezeko la bei ya hisa husika.

Uwekezaji katika hisa kama biashara nyingine unahitaji umakini na upembuzi yakinifu. Kufanya upembuzi wa wapi uwekeze fedha zako na wapi ununue hisa kwa msingi wa kupata faida.

Mjasiriamali au watu wengine wanaweza kufanya upembuzi yakinifu, lakini kama watu makundi niliyoyataja hapo juu wana uelewa wa kutosha na mbinu za kusoma taarifa mbalimbali za kampuni ambayo unakusudia kununua hisa. Kwa mfano, unapaswa kufanya upepenuzi yakinifu wa taarifa za fedha na hali halisi ya kampuni husika
katika soko la hisa.

Kwa upande mwingine, washauri wataalam wana ujuzi wa kufanya upembuzi yakinifu katika masuala ya uwekezaji kwenye soko la mitaji ambao wa wanapatikana kwenye masoko ya hisa katika jengo la Habour-view, mtaa wa Samora, jijini Dar es Salaam.
Ununuzi wa hisa unaweza kufanywa katika soko la awali mathalani pale kampuni inapotangaza kuuza hisa zake.
Baada ya kampuni kutangaza kuuza hisa, watu wananunua kwa thamani halisi, lakini baadaye zinauzwa katika soko la hisa ambako thamani ya hisa inabadilika kuendana na hali ya soko.

Tukiangalia upande wa kampuni, mpaka Agosti, mwaka huu kulikuwa na zaidi ya kampuni 16 zilizosajiliwa katika Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE). Kampuni 11 ni za kizalendo na kampuni sita ni za nje.

Kwa mujibu wa Emilian (2010), asilimia 0.39 tu ya Watanzania wamewekeza kwenye soko la hisa. Kutokana na tatizo hilo, bado ni tatizo kubwa kwa Watanzania na kwa jicho la pili ni fursa kubwa kwa wajasiriamali, wafanyakazi na wanafunzi kuwekeza katika hisa.

Uwekezaji katika hisa unachangamoto zake ikiwzmo kushuka kwa bei ya hisa, kukosa gawio, mfumuko wa bei, viwango vya riba, kukosa wanunuzi kutokana na ukwasi na hitilafu mbalimbali.

Kwa hali ya kawaida uwekezaji katika hisa una faida nyingi kuliko changamoto kwa mfano, kupata gawio baada ya kampuni kutengeneza faida, ongezeko la thamani ya hisa, punguzo la kodi ya zuio kwenye gawio.

Katika masuala ya hisa, hakuna kodi kwenye ongezeko la thamani, urahisi wa kuuza na kununua hisa, na ukiwekeza katika hisa unapata muda wa kufanya shughuli nyingine. Kwa upande mwingine hisa ni dhamana ya kupata mkopo, hisa ni urithi mzuri, ukijiwekea utaratibu wa kutenga asilimia fulani ya pato lako kutoka kwenye mshahara ama biashara kwa ajili ya kununua hisa ni uamuzi mzuri, na hisa pia ni utajiri.

Unapowekeza katika hisa jihadhari na makosa yafuatayo; kununua au kuuza hisa zako bila utafiti, kutokujua tofauti ya thamani ya bei, kununua kwa kuangalia jina na umaarufu wa kampuni, kutokua na malengo maalum, kununua kwa kuwa bei ni rahisi, kukosa maarifa au kutozingatia elimu ya fedha, hisa na uwekezaji, na kuwekeza fedha nyingi kwenye kampuni moja.
source: http://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/375940-jifunze-faida-na-mbinu-za-kununua-hisa.html
Read More ...

0 comments

http://sphotos-b.ak.fbcdn.net/hphotos-ak-prn1/530977_460742600644086_271969226_n.jpg





 swala la Vijana wa vyuo vikuu kujiajiri lina Historia ndefu sana na ni mchanganyiko wa factor nyingi sana ambazo ukijumlisha pamoja unakuja kupata hili tatizo la graduate kushindwa kujiajiri na kuishia kusubiria ajira za serikali au sekita bianfisi,

1. MFUMO WA UCHUMI WA NCHI YETU, UJAMAA NA KUJITEGEMEA

Huu mfumo ungali vichwani mwa watanzania wengi sana na kibaya zaidi umekuwa ukirithiswa kwa vijina ambao wamezaliwa baada ya UJAMAA KUWA UMEANGUKA MIAKA YA 90,
 Ujamaa unalemaza sana na Nchi kama Urusi kilicho isaidia kumove fasta kutoka Uchumi wa kijamaa kwenda uchumi wa huru ni kwa sababu ilikuwa imeisha jiimarisha kwa viwanda na makampuni makubwa sana na Ukiangalia uchumi wa URUSI unashukiliwa na Warusi wenyewe walibinasifisha makampuni yao kwa wao wenyewe,

Ingawa hata urusi Entrpremership culture si kubwa kama ilivyo INDIA na nchi zingine

China kilicho wasaidia ni Kuwa na mifumo miwili kwa wakati mmoja Socialism na Market economy,

Watanzania bado tuko katika huu mfumo wa kijamaa na ndo maana bado tunaamini Serikali ndo inatakiwa kuwatafutia masoko wafanya biashara, iwaanzishie biashara, iwaambie waanzishe biashara na kazalika, so watoto wanakuwa wanaaminishwa kwamba serikali ndo inatakiwa kufanya mambo mengi sana na wao ni kusoma na kuajiriwa tu.
Nchi kama kenya wao kutokana na kuanza na mfumo wa ubepari tangia wapate uhuru wao wako juu sana kwa vijana wao kupenda kujijiri kuliko TZ

2. UBINASIFISHAJI MBAYA WA MASHIRIKA YA UMA HASA VIWANDA ULIDESCOURAGE ENTREPRERSHIP CULTURE

Vijana wengi hawana pa kujifunza ujasiriamali kwa sababu Viwanda vyote walipewa wahindi na hii indescourage sana entreprenership culture sema tu hatujajua, Tungefanya kama URUSI ingesaidia sana kuhamasisha vijana waingie katika Ujasirimali, kwa sasa tunajifunz kwa MENGI PEKEE NA WENGINE WACHACHE, na nivigumu kujifunza kwa makaburu na wahindi.

3. MALEZI YA WAZAZI WETU

Hili ndo tatizo namba moja linalo fanya Vijana wasijiingize kwenye Biashara/ujasirimali, waswahili wanasema samaki mkunje angali mbichi na ukiangalia kweli nchi kama India na kwingineko Vijana wanaanza ujasirimali wakiwa na umuri wa miaka 20 mpaka 38 na huu ndo muda wa mtu kuingia ktika ujasirimali,
Tangia tukiwa watoto tunasisitizwa tusome sana tuje kuwa MAMENEJA, WAHASIBU WA MAKAMPUNI, TUFANYE KAZI BENKI, TUWE WAKURUGENZI, TUWE MARUBANI, na hii ni sumu mbaya sana ambayi kwa kweli inafanya watoto wakuwe wakiamni wao wanatikiwa kufanya kazi na si kujiajiri,

4. SUCCESSFUL IS GENETIC
Ili kijana aje kuwa mjasirimali mzuri inategemeana sana na ndugu zake, marafiki zake na majirani zake, kama hawa watu wote nilio wataja ni Wafanya kazi mtoto atasoma aili aje kuwa kama wao,

Ingawa kuna wachache ambao wanakuwa wajasirimali wazuri pamoja na kwamba ndugu zao, marafiki, majirani na wafanya kazi, ila kwa kiasi kikubwa sana hili linachangia sana

5. MIFUMO MI BOVU YA ELIMU YETU

- Tunakaririshwa sana, tunasoma theory sana badala ya Vitndo, kuna vyuo vinatoa elimu ya ujasirimali, MZUMBE WANATOA DEGREE NA MASTER, UD WANATOA, UDOM WANATO, ila ukifuatilia wote walio maliza hapo wameajiriwa na kuna ambao wako mitaani wanatafuta kazi pamoja na kwamba wanaelimu ya Ujasirimali

6. KUKOSEKANA KWA VIVUTIO
,
Ni kweli hakuna vivutio vingi vya kuhamasisha Vijana wengi wajiajiri wamalizapo masomo na badala yake kuna vitu kama mamilioni ya JK yaliyo tolewa kisiasa bila kujali kama wanaohitajo wana nia ya kufanya biashara au la,

Nchi nyingi hasa za ASIA zina vivutio kwa ajiri ya Graduate wao kama vile , ila huku naona vivutio vya kuwafanya watu wasome SCIENCE lakini hakuna mikakati ya kuwafanya graduate wajiajiri wamalizapo masomo,



SIJAWAHI SIKIA MZAZI AKIMSISTIZA MTOTO WAKE KWAMBA ASOME AJE KUWA MFANYA BIASHARA MKUBWA KAMA WAKINA MENGI.
Read More ...

0 comments

WINNERS Boulevard.: GOD WANTED ME TO TELL YOU….: Everything that is going wrong in your life today shall be well with you this year. No matter how much your enemies try this year, " ...
Read More ...

0 comments



 




Responsibilities are all the duties that every one in a common,society or organization has to fulfil.They are part of life and enable us to achive our goals. Responsibilities differ from one person to another as they are affected by some factors such as age,sex,and levelof education,health condition and enviroment.
Despite the fact that
responsibities are essential in life as they help one to grow
physically,mentally,and socially.yet there are irresponsible people in society.This can be due to a number of factor such as,
1-Ignorance.This is lack of knowledge concerning ones responsibilities and their importance.Their exist a good number of people in community who do not knoe their responbilities,and the benefits of fulifiling them e.g many students realize that their responsibility is other such as respect,care for person properties,contest for leadership etc
2-Laziness.Is the chief factor of irresponsibility. Many people who understand ansd are aware of their dutie but fail to perform them because of their laziness
3-Lack of motivation.This is driving force which energies us to get on with our duties.as all human are not the same.others need extenal drive or force in order to fulfil their responsibilities.such people are living in society with no people to motivate then hence fail to fulfil their responsibilities.
4-Procrastination.This tendecy in which a person takes on something is to be done on specific time and keepit aside to be done later.As this becomes one habit,it keeps his time in turmol and he neclects his duties.
5-Corruption.Is the illegal use of ones power for person profut any people tend to run away from their responsibilities and would use illegal means enable to succeed without sweating.
6-Poor management.A failure to the right place in right way and at the right time
This makes a person not to be able to do more, and weigh what is the most important at that time.
7-Poor planning.In order to carry out all our responsibilities smoothy and in right way we need to make a health plan, for a good planning one should consider the resource available, mainly the time.Planning beyond one's ability lead to the failure to fulfil his or her duties.
8-Over dependency.Keeping yourself in a condition of too much depending on others may lead you to neglecting your duty.
This is a serious problem,which exists when there is a dut to be done by more than one person.
Other factors such as luck of selfawareness,strong determination and self-acceptance may also lead to irresponsible people inorder to succeed on life we have to plan and choose,this is achieved mainly by perfoming all our duties
Read More ...

0 comments

This is a list of inventors whose deaths were in some manner caused by or related to a product, process, procedure, or other innovation that they invented or designed
Name Nationality Invention Year of Death Cause of Death
☛ Li Si Chinese The Five Pains 208 B.C. He was executed by his own method of execution after being convicted of treason.
☛ James Douglas Scottish Scottish Maiden 1581 He was beheaded on the Scottish Maiden he invented.
☛ Henry Winstanley British Eddystone Lighthouse 1703 He died in his lighthouse during the Great Storm of 1703.
☛ Jean-François Pilâtre de Rozier French Rozière Balloon 1785 He died when the balloon crashed while trying to cross the English Channel on its second flight.
☛ Horace Lawson Hunley American Submarine named H. L. Hunley 1863 He died in the 2nd failed attempt to use it.
☛ William Bullock American Rotary Printing Press 1867 His foot got caught in the press contraption, developed gangrene that led to his death 4 days later.
☛ Cowper Phipps Coles British Turret Ship 1870 He died when his ship sunk due to overload.
☛ Otto Lilienthal German Hang Glider 1896 He died due to a 56 feet (17 m) fall when his glider lost lift during a flight.
☛ William Nelson American Motorized Bicycle 1903 He died when he fell off his motorized bicycle while testing it in General Electric.
☛ Franz Reichelt Austrian Overcoat Parachute 1912 His death was due to fall from Eiffel Tower during a demonstration on 4th February.
☛ Thomas Andrews Irish Architect of Titanic 1912 He died when the Titanic capsized on its maiden voyage in April.
☛ Aurel Vlaicu Romanian Vlaicu II Airplane 1913 He died when his plane crashed on the Carpathian Mountains.
☛ Valerian Abakovsky Latvian Aerowagon 1921 He died when the Aerowagon derailed during the test ride.
☛ John Godfrey Parry-Thomas Welsh Babs Car 1927 His death occurred when the car's right hand drive chain broke in a race which led to a fatal head injury.
☛ Alexander Bogdanov Russian Blood Transfusion 1928 He died when the blood in the 12th transfusion done on himself was contaminated (some say the blood group was incompatible).
☛ Max Valier German Liquid-fueled Rocket Engine 1930 He died when one of the liquid-fueled engines exploded on his lab desk.
☛ Marie Curie Polish Radium, Polonium and Theory of Radioactivity 1934 She died of aplastic anemia caused due to constant exposure to radioactive elements.
☛ Thomas Midgley, Jr. American Mechanical Bed with pulleys 1944 His death was due to lead poisoning and strangulation by ropes on his mechanical bed.
☛ Harry K. Daghlian, Jr. American Atom Bomb 1945 They died due to acute radiation caused by lab accidents involving the same plutonium sphere.
☛ Louis Slotin Canadian Atom Bomb 1946
☛ Donald M. Campbell British Motorboat Speed Engine 1966 He died when his motorboat (with the speed engine) capsized in a race.
☛ Henry Smolinski American Flying Car 1973 During a flight, the right wing of the car came off, resulting in a crash and the inventor's death.
☛ Karel Soucek Canadian Water Capsule 1985 He succumbed to injuries caused when his capsule capsized on its second test.
☛ Michael Dacre British Flying Taxi 2009 He died when his flying taxi crashed during the test flight.
☛ James (Jimi) Heselden British Segway Gyrobike (Owner) 2010 He died when he fell off an 80 feet cliff after the Segway scooter he was riding lost balance.

It would be utter cowardice to say that it is better to keep 'thinking' instead of 'doing' just because some were unfortunate enough to pay with their lives for their creativity. Besides, many of the inventions mentioned above have played an important role in the development of man. Maybe the dying words of one such inventor (Otto Lilienthal) best describes the significance of losing a life for an invention - "Sacrifices must be made."
Read More ...

0 comments




NDUGU yangu ni lazima ukianza safari hakunakuangalia nyuma, ni Kama ile story ya kwenye Bible ambapo RUTI NA WENZAKEWAKATI WANAONDOKA KUTOKA MJI WA SODOMA NA GOMORA waliambiwa hakuna kuangalianyuma, bahati mbaya mke wa RUTHI alikumbuka Marafiki alio waacha, starehe zaSODOMA NA GOMORA then akajikuta natazama nyuma na hapo ndo akageuka kuwa NGUZOYA CHUMVI,

Kwenye Kuanza Biashara hakuna kutazama nyuma make kikwazo kikubwa sana kinachowafanya watu kutazama nyuma kama Mke wa Ruth alivyo fanya kule GOMORA ni vitukama

1. Starehe- starehe hufanya mtu atazame nyuma, make kuingia kwenye biasharakuna maanisha kuna starehe utaziacha kwa muda mpaka pale maisha yako au kampuniyako itakapo fanya profit ya kutosha

2. Marafiki- Hawa nao ni kikwazo kikubwa sana kinacho tufanya tunapo anzasafari tutazame nyuma, kuanza Biashara kuna maanisha kuachana na Baadhi yaKampani zako, utaviacha baadhi ya viwanja ulivyo zoea kwenda, na hautaambatanana Marafiki wako kamwe, sasa tukikumbuka haya inakuwa ngumu kwenda mbele bilakurudi nyuma

3. Familia- Familia zetu nazo ni sababu ya kwa nin i tunatazama nyuma, Kuanzabiashara kuna maanisha, hutakuwa karibu na Familia yako tena, utakuwa unarudiusiku na hata siku zingine kama ni biashara za kusafiri utakuwa unakata wiki aumwezi bila kurudi nyumbani, tukikumbuka haya tunashindwa kutembea mbele bilakutazama tuliko toka

4. Kazi/Mishahara/Marupurupu - Hizi ndo sababu namba moja zinazo tufanya tunapoanza safari tutazame nyuma, kabla ya kuanza hii safari huwa tunawaza Mishaharaya kila mwezi, Poshombalimbali, Magari ya kazini. Hapa tulizoea kufuatwanyumbani na magari ya kazini, kufanyia kazi kwenye AC kupata Breakfast kazini,

HIVI VITU NDO KIKWAZO KIKUBWA SANA, KUANZA SAFARI MPYA KUNAMAANISHA HUTA PATAMISHAHARA YA MWISHO WA MWEZI

So ni lazima tuwe kama Ruth alivyo ambiwa na MUNGU kwamba hakuna kutazama nyumamnapo ondoka SODOMA NA GOMORA, mungu alijua kabisa ule mji alikuwa na kila Ainaya Anasa na starehe ambazo RUTH hakuwa tiyali kuziacha that is wahy waliambiwahakuna kutazama nyuma
HIVYO UKIANZA KUINGIA KWENYE UJASIRIMALI HUKU UKITAZAMANYUMA, HUTAFIKA MBALI, KINACHO TAKIWA NI KUSONGA MBELE HATA UKISIKIA SAUTI ZIKIKUITA WEWE NI KUZIPUZIA NA KUSONGA MBELE
Read More ...

0 comments



 
 http://sphotos-f.ak.fbcdn.net/hphotos-ak-ash3/c67.0.403.403/p403x403/581446_438748409509728_1156507522_n.jpg
Ndugu mwana blog leo tumebahatika kuwaletea mahojiano na ndugu Geophrey Tenganamba ambaye ni
mkurugenzi mwanzilishi wa Perfect Path Innovators tuunganewote kama utakuwana maswali usisite kuuliza au kumuulizandugu yetu hapa nayeye ataujibu
1-Tafadhali tupe japo historia yako kwa ufupi?
Mimi ni Geophrey Tenganamba, mtoto wa tano katika familia ya Marehemu Mzee Antony Tenganamba, ni mzaliwa wa mkoa wa rukwa lakini kwa sasa makazi na biashara zangu zipo hapa Dar es salaam na morogoro. Nina Shahada ya Uhasibu na masoko niliyoipata kutoka  katika chuo kikuu Zanzibar,2009. Ni mshauri wa maisha au mwanamapinduzi wa maisha, biashara,mahusiano na uwekezaji. Ni mhasibu wa tume ya vyuo vikuu, mkurugenzi mwanzilishi wa Perfect Path Innovators inayotoa huduma na utalaamu wa biashara na masoko,computers  na mengineyo. Ni mhamasishaji mwenye kipawa kikubwa na nimefanikiwa kufanya semina na Erick Shigongo, Chriss Mauki,Felix Majangilla na wengine wengi. Ninapenda maisha ninapenda kuishi tofauti na kuonyesha tofauti.Ni mtunzi wa vitabu vikubwa hapa nchini na watu wanavinunua sana; kama “Kichwa Chako Ni Dhahabu ya utajiri”, the richest Goldmine in You na Nguvu ya kujitajirisha ndani yako. Vipo sokoni.

2-ni jambo gani ktk maisha unapenda kulifanya au unajutia kulifanya?
      Napenda kuishi, sana kuishi kwa malengo na kusababisha kitu kwa binadamu wanaonizunguka. Nimewahi kufanya makosa lakini kamwe sipendi kujuta, hakuna jambo ninalolijutia maishani.
3-hivi mafanikio ya kweli yanaweza kupatikana nje ya MUNGU?
Binadamu wote wapo ndani ya Mungu, ndani ya duara la Mungu, na hakuna mtoto wa shetani hapa duniani. Kila binadamu anaweza kufanikiwa, ila kufanikiwa kwa njia ipi na kwa matakwa ya nani ni muhimu. Na mafanikio ni kulingana najinsi mtu mhusika anavyoyachukulia, yeyote Yule ambaye anasema amefanikiwa lakini hajui amefanikiwa kwa matakwa ya nani hajafanikiwa bado, mafanikio ni pamoja na furaha ya moyo, tumaini la kufika huko tuendako na fedha za kukutosha na kuwasaidia wengine. Kila mmoja anaweza kufanikiwa lakini lazima achukue hatua kwanza.
4-kwa nini wasomi wengi wa hapa nchini wanapenda kuajiriwa kuliko kujiajiri?
    Wasomi wengi wanapenda kuajiriwa kwasababu ya mazoea waliyoyakuta, mara nyingi sana msomi akiamua kujiajiri huonekana kama anapotea. Ni aina ya uoga wa wasomi wengi, na uoga ndiyo mchawi mkuu wa mafanikio ya binadamu yeyote. Kuajiriwa ni raisi lakini matunda yake ni madogo au twaweza kuita ni makaburi ya vipawa na uwezo wa binadamu. Binadamu anayefikiri na kukumbana na mambo katika kujiajiri hufufua uwezo wa ndani yake na kuwa mkubwa hata kiakili. Hivyo ni uoga tu wa kuona makubwa. Nchi hii ina fursa nyingi sana kama wasomi wakiamua kujiajiri.
5-nini ushauri wako kwa wasomi wa hapa nchini kwetu?
Tanzania bado inahitaji binadamu wanaodiriki, wanaoamua maisha yao kwa mfumo wanaoamini wao hasa kwa kujiajiri. Ni muhimu sana kuwa na tabia ya kutaka makubwa ili upate makubwa; kwa mfano
“Mpaka lini utaendelea kuwa mtumishi wa wahindi kama punda wakati uwezo wa kuyatengeneza makubwa kama wao unao? Kwanza nchi ni ya kwako ni vema utumie fursa hiyo. Kuna siku tulikutana na MODESTA MAHIGA, aliniambia kuwa hakuna nchi raisi kujiajiri na kupata makubwa kama Tanzania, ukishaamua kuwa na ndoto yako na kung’ang’ania kuifikia.
6-nini siri ya mafanikio yako?
 Ni kuamua tu, yaani unaamua unachotaka na unahakikisha kinapatikana basi. Naomba wasome link hii katika blog yang kujua nini maana ya kuamua   http://treasurehousewithinyou.blogspot.com/2011/11/amua.html

7-Unajisikiaje pale unapofanya kitu na kukifanikisha?,na kama
haujakifanikisha unajisikiaje?
Najisikia  kufurahi, nauona uwezekano wa kuyafanya mengine zaidi. Kuhusu kutofanikisha, yakitokea hayo najiona kuwa nahitaji kuongeza mwendo zaidi.
8-Upi ushauri wako kwa mtu ambaye anafanya kitu na kushindwa kukifanikisha?
Hakuna binadamu aliyewahi kukuta vitu mteremko, lazima alijaribu akashindwa, akajaribu kwa njia nyingine akashindwa tena, lakini hakukata tama na mwisho wa siku akashinda. Huwezi kusema umeshinda wakati hakuna jasho ulilotoa. Maisha siyo rahisi, lakini yanawezekana kwa Yule asiyekubali matokeo na kuanza tena.
9-nasikia wewe ni mwandishi wa vitabu? kama ni kweli umeshaandika
kitbu kipi na kipi?
10- pia wewe ni Director and founder of Perfect Path Innovators,hii
inausika na nini hasa?
Inatoa ushauri wa biashara, masoko, uwekezaji na mengine mengi kama nilivyosema mwanzo kaka Godlisten
11- kama mtu akihiitaji kitabu chako anaweza kufuata utaratibu upi? ua
vinauzwa wapi?
 Vitabu nilivyotunga ni kama kichwa chako ni dhahabu ya utajiri, nguvu ya kujitajirisha ndani yako, the richest goldmine in you. Kwasasa vimeisha bookshop lakini tumeshaanza kuvisambaza tena. Lakini kwa anayehitaji, anaweza kupiga simu +255714477218, email:gtlivemore@gmail.com, ataletewa mahali popote alipo. Na kwa taarifa zaidi wapite katika blog hii:   http://treasurehousewithinyou.blogspot.com/search/label/SWAHILI%20INSPIRATIONS
Asante

asante ndugu Tenganamba kwa ushirikiano wako
Read More ...

0 comments

Maadili ya kazi:

Tofauti kubwa kati ya maadili ya biashara, ujasiriamali, kazi za kuajiriwa au vitu vingine vyovyote kama vile matumizi ya barabara, familia n.k. ni katika maadili.  
 Asilimia kubwa ya watu walioko katika kazi zao za kitaaluma (professionals) au zisizo za kitaaluma (unprofessionals) hawafuati maadili ya kazi (Work Ethics),  matokeo yake siku zote watanzania tumekuwa tukilia maendeleo hatuyaoni, au maendeleo yanachelewa wakati chanzo cha kwanza cha tatizo nisisi.
Labda nikuulize, Je hujawahi kuona?
  • Mfanyakazi anatumia muda mrefu kusoma gazeti ofisini?
  • Story na soga zikitawala ofisini?
  • Wafanyakazi wakienda kula kwa zaidi ya lisaa (yaani wanatoka eneo la kazi kabla ya muda wa kwenda kula na kurudi baada ya muda wa kawaida wa kutoka kula).
  • Mfanyakazi akiwapa kipaumbele  wale anaowajua au waliomuwezesha kuwa au kufikia namna   fulani?
  • Wafanyakazi wakichelewa kufika kazini na kuwahi kutoka eneo la kazi kabla ya muda wa kawaida.
  • Wafanyakazi wakianza wikiendi mapema na kuchelewa kuimaliza wikiendi hiyo (athari za yaliyoendelea wikiendi yanaathiri hata utendaji wa muda wa kazi mwanzo wa wiki.
  • Muuza duka akikaa nje ya duka akipiga soga au kusoma gazeti  na mteja anapokuja muuza duka huyu anamuuliza mteja kitu anachotaka akiwa nje ya duka pasipo hata kuingia ndani ya duka palipo eneo lake la kazi (maranyingine nawaza labda anatamani hata kitu hicho kisiwepo dukani ili asisumbuliwe kukatisha anachofanya na kuingia ndani ya duka).

Tunamaanisha nini katika suala zima la maadili ya kazi?
-          Jinsi nzima ya kiutendaji
-          Mahusiano yetu na wafanyakazi, wafanyabiashara wenzetu, wajasiriamali wenzetu, na mahusiano yetu na wateja au wapokea huduma
-          Mjumuisho wa sheria na misingi ya kiutendaji inayokubalika katika eneo la kazi.

Baadhi ya Maadili hayo.
-          Kuweka mazingira ya kazi safi na salama kwa ajili yako wewe mwenyewe na wafanyakazi wengine.
-          Kuwaheshimu na kuwachukulia vema wafanyakazi wenzako na wewe binafsi pia.
-          Kutoa maslahi sawa na ya haki kwa mtoa huduma yeyote. (epuka dhuluma au ubahili)
-          Kushuhulikia mambo yote yanayohusu biashara yako au kazi yako kwa ukweli, uaminifu na katika muda sahihi.

*Waefeso 6:9 “Hivyo hivyo enyi waajiri wachukulieni waajiriwa/wafanyakazi (subordinates) kwa haki, msiwaudhi mkijua kuwa wote tuna mwajiri mkuu mbinguni, Yeye aisye upendeleo.”

Baadhi ya maadili yanayomlenga mfanyakazi / mwajiriwa.
  • Fika katika eneo la kazi kwa muda muafaka na pia toka kwa muda muafaka.
  • Fanya kila kinachoihusu ajira yako / kampuni yako katika kila sekunde uwayo katika eneno la kazi (usihamishie  mambo ya nyumbani au ya mtaani kazini).
  • Tunza mali / vitu vya ofisi /kampuni kwa uangalifu mkubwa na upendo, viangalie kama vile ni mali yako na unawajibu navyo. Hembu jaribu kuangalia mtazamo wa watu katika vitu vya umma, na ndiyo maana vingi havidumu (Hii ndiyo sababu ya magari ya umma kuwa juu ya mawe)
  • Heshimu kampuni au ofisi yako kwa uaminifu na kweli. Mtu awaye yoyote asikuhofie au kukushuku chochote katika nafasi yako, mfano kuwepo kwa mazingira ya rushwa.
Wakolosai 3:22-24 “Enyi waajiriwa, wafanyakazi waheshimu waajiri wenu katika kila kitu mfanyanacho. Muwaridhishe katika yote, sio tu wakiwa wanawatazama… mkijua kuwa mna mtumikia mwajiri mkuu Yesu Kristo.”
  • Maadili ni suala la uchaguzi binafsi na kwa hiyo, jinsi maadili ya sehemu ya kazi yanavyochukuliwa au kufuatwa inategemea sana maadili binafsi aliyonayo wewe mfanyakazi au mfanyakabiashara. Ni ngumu kufuata maadili ya kazi wakati hata wewe mwenyewe huna maadili yako binafsi, pia ni ngumu kufuata utaratibu uliowekewa au mliowekeana wakati hata ule wa maisha yako binafsi umekushinda.
  • Mtazamo mkubwa wa ulimwengu wa leo kuhusiana na maadili ya kazi ni kwamba, kosa kubwa unaloweza kufanya katika utendaji wa yote yasiyo haki katika eneo la kazi ni kukamatwa. Unachotakiwa kujitahidi kazini ni kukwepa kugundulika kuwa unapindisha baadhi ya maadili.
  • Juhudi kubwa makazini sasa imewekwa katika kuzisaka na kuzigundua mbinu za mwajiri au mashirika ya uchunguzi kama TAKUKURU, wakaguzi wa mahesabu (auditors), na kutafuta ufumbuzi wa kuwakwepa.



Mtazamo wa kibiblia:

1 Wakorintho 4:2 “Sasa basi yawapasa wote walioaminiwa katika chochote kuuonyesha uaminifu.”
Lazima kuonyesha uaminifu ili tuweze kutumainiwa na kuaminiwa zaidi.
Kumbuka, “Aliye mwaminifu katika madogo huaminika zaidi pia katika makubwa.....”
1 Wathesalonike 5:24 (KJV) “Iweni waaminifu kama yeye aliyewaita.”
·   Ebu jitazame kama aliye ajiriwa na Mungu, Je utafanya unayoyafanya katika eneo lako la kazi leo?
·   Nidhamu ya kazi ni matokeo ya uaminifu, na uwakili mwema katika mamlaka iliyoko na uaminifu kwa Mungu mwenyewe.
-   “Utamheshimu Mungu kwani yeye ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri.”
Read More ...

0 comments